Waziri wa usalama wa taifa Itamar Ben Gvir, amesema ni wakati sasa nchi yake itumie ''nguvu zote'' katika Ukanda wa Gaza baada ya Hamas kulikataa pendekezo jipya la kusimamisha vita+++Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila, alionekana hadharani mjini Goma.