Israel inakabiliwa kwa mara nyingine na shinikizo la kimataifa kutokana na kampeni yake ya kijeshi kwenye Ukanda wa Gaza+++Imefahamika kwamba serikali ya Marekani inapanga kufunga balozi nyingi barani Afrika+++Katika maeneo mengi ya vijijini Afrika Kusini, wananchi wanakabiliwa na changamoto kubwa za kupata huduma za afya