Viongozi wa Jordan, Misri, na Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, wamekosoa vitendo vya Israel katika Ukanda wa Gaza na Lebanon+++Hakuna shaka kwamba uchaguzi wa Marekani ndio utakaobainisha mwenendo wa vita nchini Ukraine+++Kundi la mamluki wa kirusi la Wagner, limekuwa likifanya kazi katika nchi nyingi za Afrika kwa miaka mingi.