Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Israel kujizuia kuuteka na kuudhibiti Mji wa Gaza // Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema mashambulizi makubwa ya anga ya Urusi mjini Kiev, yanaonyesha kuwa Rais Vladimir Putin anataka kuendeleza vita // Na takribani nchi nne za Afrika zitakosa chakula maalum cha kuokoa maisha ya watoto wenye utapiamlo katika kipindi cha miezi mitatu ijayo