Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ameitolea wito Israel kujizuia na kuachana na mpango wake wa kuuteka na kuudhibiti Mji wa Gaza+++Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron wanatarajiwa kuongoza kikao cha baraza la mawaziri la pande mbili hii leo nchini Ufaransa.