Israel bado inaendeleza mashambulizi Gaza huku kukiwa na hofu ya kutokea janga la kiutu // Vikwazo vya kibiashara vilivyowekwa na Rais wa Marekani, Donald Trump, dhidi ya mataifa ya BRICS vimezaa matokeo yasiyotarajiwa // Kamatakamata ya waandishi habari Ethiopia yasababisha hofu miongoni mwa jumuiya ya wanahabari