Shirika la Mpango wa Chakula Duniani lasitisha harakati zake Gaza baada ya gari la wafanyakazi wake kushambuliwana vikosi vya Israel. Rais wa Ukraine asema kuwa wanajeshi wake wanakuchukua udhibiti wa maeneo zaidi huko Kursk nchini Urusi. Shirika la afya la Umoja wa Afrika limesema kuwa linakaribia kupata karibu dozi milioni moja za chanjo ya ugonjwa wa homa ya nyani.