Jeshi la Israel linasema kuwa limewaua wanamgambo wengine watano akiwemo kamanda wa Palestina mwenye umaarufu, katika operesheni kubwa ndani ya eneo linalokaliwa kimabavu la Ukingo wa Magharibi+++Ethiopia imeonya kwamba ujumbe mpya unaoongozwa na Umoja wa Afrika nchini Somalia AUSSOM, unaweza kuzidisha hali ya mvutano zaidi katika eneo hilo.