Mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani Jake Sullivan amekutana leo na Rais wa China Xi Jinping mjini Beijing, na kukamilisha siku tatu za mazungumzo yaliolenga kupunguza msuguano kati ya mataifa hayo mawili+++Michezo ya Olimpiki kwa wanariadha wenye Ulemavu tayari imeanza kutimua vumbi jijini Paris kipyenga rasmi kilipulizwa jana jioni kwa shamrashamra.