Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anakutana na Mfalme Abdullah II wa Jordan mjini Berlin / Wafungwa 17 wameuawa baada ya Urusi kufanya shambulio lililolilenga gereza la Bilenkivska katika mkoa wa Zaporizhzhya nchini Ukraine