Shirika la Amnesty lakosoa hatua za rais wa Marekani Donald Trump wakati akitimiza siku 100 madarakani. Chama cha kiliberali cha Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney chashinda uchaguzi wa Bunge. Watu 26 wafariki nchini Nigeria kufuatia mripuko wa bomu la kutegwa ardhini.