Mashambulizi ya Israel dhidi ya Wapalestina yanaendelea kushuhudiwa kwa kasi kubwa Gaza+++Shangwe, nderemo na nyimbo za hamasa zilitawala leo jijini Dar es Salaam wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikizindua rasmi kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.