Waziri mkuu Keir Starmer asema Uingereza haiwezi kurudi kwenye Umoja wa Ulaya lakini inataka kurudisha mahusiano ya karibu na EU+++Shambulizi la Urusi lawauwa watu 6 Donetsk, nchini Ukraine+++Israel yashambulia kote Gaza, vifaru vyaingia ndani kabisaa ya Khan Younis