Wanasayansi wanasema aina mpya ya kirusi cha Mpox kinabadilika haraka kuliko ilivyodhaniwa+++Burundi mojawapo kati ya mataifa masikini zaidi duniani inakumbwa na uhaba wa mahitaji ya msingi+++Magonjwa ya kuendesha yanaua hadi watoto 54 kila siku nchini Uganda+++Mapema mwezi huu, Ujerumani na Ufilipino ziliridhia kukamilisha makubaliano ya ulinzi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.