Jeshi la polisi nchini Tanzania limeizingira nyumba ya Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, Tundu Lissu na Makamu Mwenyekiti wake upande wa Bara, John Heche, wakati shauri la kesi dhidi ya Jamhuri ya kupinga kusikilizwa kwa kesi ya Lisu ya uchochezi na uhaini kwa njia ya mtandao.