Israel imekataa kushiriki katika kesi iliyoanza mapema leo Jumatatu katika mahakama Mahakama Kuu ya Kimataifa ya Haki ya ICJ kuhusu hatua yake ya kuzuia misaada kuingizwa katika Ukanda wa Gaza// Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi ya ECOWAS inaadhimisha miaka hamsini tangu kuasisiwa kwake mnamo Mei 28, 1975 huko Lagos.