Mwanadiplomasia wa zamani wa Israel Alon Pinkas ameiambia DW kuwa, mfumo wa nchi yake wa kuhakikisha uwajibikaji ili kuzuia matumizi mabaya ya madaraka unavurugwa na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu+++Serikali ya Kenya imetangaza kwamba deni la nchi hiyo limefikia shillingi trilioni 10