Mratibu wa muungano wa waasi wa AFC unaolijumuisha kundi la waasi wa M23 Corneille Nangaa amethibitisha idadi ya watu 11 waliopoteza maisha+++Urusi na Ukraine zimeshambuliana vikali usiku wa kuamkia leo ambapo watu watatu wameripotiwa kuuawa huku kukiripotiwa uharibifu mkubwa