Umoja wa Mataifa waonya kuhusu mgogoro wa kibinaadamu unaotia wasiwasi mashariki ya Kongo // Serikali ya Ujerumani na upinzani zakabiliana kuhusu sera pinzani za mipaka // Na Wizara ya sheria Marekani yawafuta kazi waendesha mashitaka waliozishughulikia kesi za jinai za Trump