DR Congo - Muungano wa waasi unaoongozwa na kundi la M23 lenye wapiganaji wengi wa Kitutsi umesema ukemata mji wa Goma wenye wakazi zaidi ya milioni mbili+++Tanzania - Viongozi na wakuu wa nchi zaidi ya 50 za Afrika wanakutana katika mkutano wa nchi za Afrika kuhusu nishati+++izara ya sheria Marekani yawafuta waendesha mashitaka waliozishughulikia kesi za jinai za Trump.