Tume huru ya uchaguzi nchini Tanzania (INEC) imekiandikia chama cha upinzani cha ACT Wazalendo kuwa hakitaweza kumteua mgombea wa urais kupitia chama hicho, Luhaga Mpina// Serikali ya Kenya imeanzisha rasmi jopo la wataalamu litakalosimamia fidia kwa waathiriwa wa maandamano na ghasia za umma yaliyoshuhudiwa nchini tangu mwaka 2017