Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) leo, Jumatano, imefanya zoezi la uteuzi wa wagombea wa nafasi ya Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania// Kenya inaadhimisha miaka 15 ya katiba mpya//Hatima ya wapi mwili wa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, utazikwa bado haijulikani.