Nchi za Magharibi ambazo ni washirika wakuu wa Kiev, zimekuwa zikijadili uwezekano wa kupelekwa kwa wanajeshi nchini Ukraine// Uhaba wa maji unaotokana na ongezeko la viwango vya joto na ukame duniani huenda ukavuruga mifumo ya uchumi wa mataifa na kusababisha ukosefu wa chakula, uhamiaji na misukosuko ya kisiasa.