Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kudhibiti matumizi ya nishati ya Atomiki – IAEA Rafael Grossi ameanza leo ziara ya kufanya uchunguzi huru wa hali ilivyo katika kinu cha nyuklia cha Kursk nchini Urusi+++Takriban watu 30 wameuawa baada ya kuporomoka kwa bwawa la Arbaat nchini Sudan kutokana na mafuriko yaliosababishwa na mvua kubwa inayonyesha nchini humo