Mchakato wa kuwania uongozi wa kamisheni ya Umoja wa Afrika umeanza rasmi baada ya Raila Odinga kuzinduliwa kuwa mwakilishi wa Afrika Mashariki+++Rais wa Ufaransa Emmanuel anakabiliwa na kibarua kigumu kuitisha mazungumzo mapya kuhusu uundwaji wa serikali, baada ya vyama vya siasa za mrengo wa kushoto kukataa kushiriki tena