Nchini Ujerumani mjadala unaendelea kuhusu kisa cha kuuwawa watu watatu walioshambuliwa kwa kisu katika mji wa magharibi wa Sölingen+++Maswali yanayojikita kuhusu raia, makaazi, kilimo na ufugaji ni miongoni mwa yale watakayoulizwa raia kwenye sensa ya kitaifa iliyoanza nchini Burundi