Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Wakuu wa Umoja wa Ulaya wanataka Ukraine isaidiwe kijeshi. Vikwazo vipya dhidi ya Urusi vimekwama / Wakazi wa Mji wa Kabimba, nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanikiwa na huduma ya umeme baada ya miaka tisa ya giza