Takriban viongozi 30 watakutana mjini Paris leo kujadiliana na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy jinsi ya kuimarisha usaidizi wa kijeshi+++Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar, mpinzani wa muda mrefu wa Rais Salva Kiir, amekamatwa jana