Watu wasiopungua watano wamepoteza maisha wakati wa mkutano ulioendeshwa na Mratibu wa Muungano wa waasi wa M23 nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo+++Utawala wa Rais William Ruto umekosolewa na viongozi mbalimbali, wakidai kuwa ameshindwa kutimiza ahadi zake