Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Watu kadhaa wameandamana Jumanne huko Israel wakiishinikiza serikali kumaliza vita vya Gaza na kurejeshwa kwa mateka / Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney ametangaza ubia kati ya Ujerumani na Norway ni mojawapo wa wawaniaji wakuu wa kandarasi ya manowari mpya za Canada