Mazungumzo ya kusaka makubaliano ya kusitisha mapigano kwenye Ukanda wa Gaza yamemalizika bila mafanikio yoyote mjini Kairo+Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amewasili katika mji wa Solingen+Kamati ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Afya Duniani, WHO inaanza mkutano wake wa siku tano katika Jamuhuri ya Kongo.