Iran leo imepongeza shambulizi la droni na makombora lililofanywa na kundi la Hezbollah+Kansela Olaf Scholz leo Jumatatu ameutembelea mji wa Solingen+Mahakama nchini Uganda imeongeza muda wa rumande wa wafuasi 36 wa chama cha upinzani FDC hadi tarehe 17 ambapo watarudi tena mahakamani kuhusiana na mashtaka ya ugaidi.