Kundi la waasi wa M23 huko mashariki mwa Kongo limesema kwamba rais wa zamani wa Kongo Joseph Kabila amewasili katika mji wa Goma unaodhibitiwa na waasi hao+++Mashariki ya kati mashambulizi ya Israel yaliyofanyika alfajiri ya leo katika Ukanda wa Gaza, yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 50+++Trump asema Putin anawazimu kwa kuendelea na mashambulizi Ukraine